Get Adobe Flash player
We Promote Science and Technology
Home

Prince Charles wa Uingereza na mkewe Camila wakiangalia kitabu cha Stempu mbalimbalizenye picha na matukio ya Taifa letu zilizotumika kutuma barua na vifurushi tangu mwaka 1961 hadi 2011 alipohudhuria maadhimisho ya miaka 50 ya Uhuru ya sekta ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia ...

Mhe. Prof Makame Mbarawa, Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia akimkabidhi cheti na begi lenye nyaraka mbalimbali Mhe. Salim H. Msoma, Katibu Mkuu mstaafu aliyeongoza wizara ya Mawasiliano na Uchukuzi 1995-2005 katika maadhimisho ya miaka 50 ya Uhuru ya sekta. ...

Prof. Makame Mbarawa, Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia akimkabidhi zawadi ya Komputa (Laptop) mwanafunzi bora kitaifa kwa kidato cha sita kwa masomo ya sayansi kwa mwaka 2011 kutoka shule ya Sekondari ya Alimuntazar, Dar es Salaam. Anayeshuhudia kushoto ni Dkt. Patrick Makungu, Naibu Katibu Mkuu, na upande wa kulia kwa Waziri ni Dkt. Florens Turuka, Katibu Mkuu, wote wa Wizara hiyo. ...

 Wanafunzi wakitumia kompyuta katika Kituo cha Mawasiliano cha B. Mkapa kilichopo Pemba ikiwa ni moja ya vituo vilivyopo nchini. Vituo vya Mawasiliano Vijijini vinawawezesha wananchi na jamii kwa ujumla kupata taarifa na huduma mbalimbali kama vile intaneti kwa kutumia Teknolojia ya Habari na Mawasiliano nchini. ...

Mhe. Prof. Makame Mbarawa, Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia (aliyevaa kofia) akikabidhi mfano wa hundi yenye thamani ya sh. 1.9 bilioni kwa mwakilishi wa Wizara ya Mifugo na Maendeleo kwa ajili ya ukarabati wa miundombinu na ununuzi wa vifaa vya maabara ya utafiti ikiwa ni sehemu ya fedha kwa ajili ya utafiti na maendeleo zilizotolewa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Anayepiga makofi ni Dkt. Florens Turuka Katibu Mkuu wa Wizara hiyo. ...
by camp26

Message from the Minister

Prof. Makame Mbarawa

Our Dear Viewers, welcome to the Ministry of Communication Science and Technology Website, whereby through this website you will find all information concerning the activities, functions, stakeholders,

Read More..

Our Mission

To facilitate human capital development and knowledge generation for sustainable wealth creation and better livelihood of Tanzanians through policy development, and promotion of science, technology and ICT

Our Vission

To have a knowledge based Tanzanian society with the capacity and capability to harness Science, Technology and Innovation for the transformation of the economy that is sustainable and globally competitive

Our Roles

The roles of the Ministry are policy formulation, Monitoring and Evaluation, regulatory and legal matters pertaining to communication, ICT, science, technology and Innovation.


 


 

Tangazo la Usitishwaji Huduma za Matangazo ya Television kwa Kutumia Teknolojia ya Analojia

flaNchi yetu itasitisha rasmi matumizi ya teknolojia ya utangazaji ya analojia na kuhamia teknolojia ya dijitali ifikapo tarehe 31 Desemba, 2012 saa sita usiku. Lengo la kufanya hivyo ni kuendana na kasi ya ukuaji wa teknolojia ya mawasiliano duniani kote. Miongoni mwa faida za kutumia teknolojia ya dijitali ni kuongezeka kwa ubora wa matangazo ya televisheni, ongezeko la chaneli za televisheni litakalotokana na matumizi bora ya masafa, kuwepo kwa masafa ya ziada yatakayopatikana baada ya kuzimwa kwa mitambo ya analojia inayotumia masafa mengi, kuongezeka kwa watoa huduma wa mawasiliano ya simu, matangazo ya televisheni kupatikana katika vifaa vingi zaidi vya mawasiliano kama vile simu za mkononi na kompyuta kupitia mtandao wa intaneti.

 

 

Taarifa kwa Umma

flaTeknolojia ya Habari na Mawasiliano inakua kwa kasi sana na hivyo kuwa kichocheo katika maendeleo ya kijamii na kiuchumi. Kufuatia kasi ya ukuaji wa teknolojia, sekta ya utangazaji ipo katika mabadiliko kutoka mfumo wa teknolojia ya analojia kwenda mfumo wa wa digitali duniani kote. Hii inatokana na changamoto zinazoikabili teknolojia ya analojia ikiwemo uhafifu wa picha na sauti, matumizi makubwa ya masafa na nishati, pamoja na teknolojia inayopitwa na wakati ya kurushia matangazo ya aina hiyo.

 

 

POLLS

Do you agree that ICT can be used to improve Tanzania Economy?
 

VISITORS COUNTER

mod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_counter
mod_vvisit_counterToday378
mod_vvisit_counterThis Week2739
mod_vvisit_counterThis Month6589

Today: May 19, 2012